Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 24:31-32

Luka 24:31-32 BHN

Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao. Basi, wakaambiana, “Je, mioyo yetu haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa anatufafanulia Maandiko Matakatifu kule njiani?”