Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 24:31-32

Luka 24:31-32 SRUV

Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao. Wakaambiana, Je! Mioyo yetu haikuwaka ndani yetu hapo alipokuwa akisema nasi njiani, na kutufunulia Maandiko?

Soma Luka 24