Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 22:41-42

Luka 22:41-42 BHN

Kisha akawaacha, akaenda umbali wa mtu kuweza kutupa jiwe, akapiga magoti, akasali: “Baba, kama wapenda, ukiondoe kwangu kikombe hiki; hata hivyo, mapenzi yako yatimizwe, wala siyo yangu.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 22:41-42