Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 16:10-11

Luka 16:10-11 BHN

Yeyote aliye mwaminifu katika mambo madogo, atakuwa mwaminifu katika mambo makubwa; na yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa. Kama basi, nyinyi si waaminifu kuhusu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli?

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 16:10-11