Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 16:10-11

Luka 16:10-11 SRUV

Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na asiyeaminika katika lililo dogo, huwa haaminiki pia katika lililo kubwa. Basi, kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya duniani, ni nani atakayewapa amana mali ya kweli?

Soma Luka 16

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 16:10-11