Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 1:28-31

Luka 1:28-31 BHN

Malaika akamwendea, akamwambia, “Salamu, ewe uliyejaliwa neema na Mungu! Bwana yuko nawe!” Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini? Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema. Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 1:28-31