Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Walawi 25:35-37

Walawi 25:35-37 BHN

“Kama ndugu yako amekuwa maskini hata asiweze kujitunza mwenyewe akiwa pamoja nawe, ni lazima umtunze aendelee kuishi nawe; mtendee kama mgeni au msafiri aliye kwako. Usimtake akulipe riba ya namna yoyote ile. Ila mche Mungu, naye ndugu yako apate kuishi pamoja nawe. Usimkopeshe fedha kwa riba au kumpa chakula ili akulipe faida.

Soma Walawi 25

Video for Walawi 25:35-37