Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yuda 1:1-2

Yuda 1:1-2 BHN

Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo na ndugu yake Yakobo, nawaandikia nyinyi mlioitwa na Mungu na ambao mnapendwa naye Mungu Baba, na kuwekwa salama kwa ajili ya Yesu Kristo. Nawatakieni huruma, amani na upendo kwa wingi.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yuda 1:1-2