Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yobu 4:4-6

Yobu 4:4-6 BHN

Maneno yako yamewainua waliokufa moyo, umewaimarisha waliokosa nguvu. Lakini sasa yamekupata, nawe ukakosa subira, yamekugusa, nawe ukafadhaika. Je, kumcha Mungu si ndilo tegemeo lako? Na unyofu wako si ndilo tumaini lako?

Soma Yobu 4