Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayubu 4:4-6

Ayubu 4:4-6 SRUV

Maneno yako yamemtegemeza huyo aliyekuwa anaanguka, Nawe umeyaimarisha magoti manyonge. Lakini sasa haya yamekufikia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika. Je! Dini yako siyo tegemeo lako? Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?

Soma Ayubu 4