Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohane 20:21-22

Yohane 20:21-22 BHN

Yesu akawaambia tena, “Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma nyinyi.” Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, “Pokeeni Roho Mtakatifu.