Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 20:21-22

Yohana 20:21-22 SRUV

Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawatuma ninyi. Naye akiisha kusema hayo, akawavuvia, akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu.

Soma Yohana 20