Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 9:13-14

Yeremia 9:13-14 BHN

Mwenyezi-Mungu akajibu: “Kwa kuwa wamekataa kushika sheria yangu niliyowapa, wamekataa kutii sauti yangu na kufuata matakwa yake. Badala yake wamefuata kwa ukaidi fikira za mioyo yao, wakaenda kuyaabudu Mabaali kama walivyofundishwa na wazee wao.

Soma Yeremia 9