Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 29:11-13

Yeremia 29:11-13 BHN

Maana, mimi Mwenyezi-Mungu ninajua mambo niliyowapangia. Nimewapangieni mema na si mabaya, ili mpate kuwa na tumaini la baadaye. Hapo ndipo mtakaponiita na kuniomba, nami nitawasikiliza. Mtanitafuta na kunipata. Mtakaponitafuta kwa moyo wote

Soma Yeremia 29