Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 22:3

Yeremia 22:3 BHN

Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Tendeni mambo ya haki na uadilifu. Mwokoeni mikononi mwa mdhalimu mtu yeyote aliyenyanganywa mali zake. Msiwatendee vibaya au ukatili wageni, yatima na wajane wala msimwage damu ya mtu asiye na hatia mahali hapa.

Soma Yeremia 22