Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 22:3

Yeremia 22:3 SRUV

BWANA asema hivi, Fanyeni hukumu na haki, mkamtoe yeye aliyetekwa katika mikono ya mdhalimu; wala msiwatende mabaya mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kuwadhulumu, wala msimwage damu ya mtu asiye na hatia katika mahali hapa.

Soma Yeremia 22