Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 43:20-21

Isaya 43:20-21 BHN

Wanyama wa porini wataniheshimu, kina mbweha na kina mbuni, maana nitaweka maji nyikani, na kububujisha mito jangwani, ili kuwanywesha watu wangu wateule, watu niliowaumba kwa ajili yangu mwenyewe, ili wazitangaze sifa zangu!’

Soma Isaya 43