Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 6:5-6

Mwanzo 6:5-6 BHN

Mwenyezi-Mungu alipoona wingi wa uovu wa binadamu duniani, na kwamba kila analokusudia binadamu moyoni mwake ni ovu daima, Mwenyezi-Mungu alisikitika sana kwa kumuumba binadamu duniani. Mwenyezi-Mungu alihuzunika sana moyoni mwake

Soma Mwanzo 6

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 6:5-6