Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 23:10-12

Kutoka 23:10-12 BHN

“Kwa muda wa miaka sita utapanda mashamba yako na kuvuna mazao yake. Lakini mnamo mwaka wa saba, utayaacha mashamba yako bila kupanda mbegu, ili maskini miongoni mwa watu wako wapate chakula kilichosalia humo, na wanyama wa porini wale. Utafanya vivyo hivyo katika shamba lako la mizabibu na la mizeituni. “Kwa siku sita utafanya kazi zako, lakini siku ya saba utapumzika, ili ng'ombe wako na punda wako pia wapate kupumzika; na watumwa wako na watumishi wa kigeni wapate kustarehe.

Soma Kutoka 23

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 23:10-12