Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 1:17-18

Waefeso 1:17-18 BHN

ili Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba mtukufu, awajalieni Roho wake atakayewapa hekima na kuwafunulieni Mungu mpate kumjua. Namwomba Mungu aifunue mioyo yenu iweze kuuona mwanga wake, mpate kutambua lile tumaini alilowaitieni na utukufu mkuu wa zawadi alizowawekea watu wake

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waefeso 1:17-18