Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 32:44-47

Kumbukumbu la Sheria 32:44-47 BHN

Mose alikuja mbele ya Yoshua, mwana wa Nuni, wakakariri maneno ya wimbo huu, ili Waisraeli wote wausikie. Mose alipomaliza kuwaambia watu wa Israeli maneno haya yote, aliwaambia, “Yawekeni mioyoni mwenu maneno yote ambayo ninawapeni leo. Lazima muwaamuru watoto wenu ili wafuate kwa uaminifu maneno yote ya sheria hii. Maana sheria hii si maneno matupu bali ni uhai wenu; kwa sheria hii mtaishi maisha marefu katika nchi mnayokwenda kuimiliki, ngambo ya mto Yordani.”