Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Amosi 2:6

Amosi 2:6 BHN

Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Waisraeli wametenda dhambi tena na tena, kwa hiyo sitaacha kuwaadhibu. Wamewauza watu waaminifu kwa kuwa hawakuweza kulipa madeni yao; na kuwauza watu fukara wasioweza kulipa deni la kandambili.

Soma Amosi 2

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Amosi 2:6