Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 7:59-60

Matendo 7:59-60 BHN

Waliendelea kumpiga Stefano kwa mawe huku akiwa anasali: “Bwana Yesu, ipokee roho yangu!” Akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa: “Bwana, usiwalaumu kwa sababu ya dhambi hii.” Baada ya kusema hivyo, akafa.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 7:59-60