Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 27:39-40

Matendo 27:39-40 BHN

Kulipokucha, wanamaji hawakuweza kuitambua nchi ile, ila waliona ghuba moja yenye ufuko; wakaamua kutia nanga huko kama ikiwezekana. Hivyo walikata nanga na kuziacha baharini, na wakati huohuo wakazifungua kamba zilizokuwa zimeufunga usukani, kisha wakatweka tanga moja mbele kushika upepo, wakaelekea ufukoni.

Video for Matendo 27:39-40

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 27:39-40