Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 22:30

Matendo 22:30 BHN

Kesho yake, mkuu wa jeshi alitaka kujua mashtaka kamili ambayo Wayahudi walikuwa wamemwekea Paulo. Hivyo, alimfungua Paulo minyororo, akaamuru makuhani wakuu na Baraza lote wafanye kikao. Kisha alimleta Paulo, akamsimamisha mbele ya Baraza.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 22:30