Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 18:1-3

Matendo 18:1-3 BHN

Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho. Huko Korintho, alimkuta Myahudi mmoja aitwaye Akula, mzaliwa wa Ponto. Akula pamoja na mkewe aitwaye Priskila, walikuwa wamerudi kutoka Italia siku hizohizo kwa sababu Kaisari Klaudio alikuwa ameamuru Wayahudi wote waondoke Roma. Paulo alikwenda kuwaona, na kwa vile wao walikuwa mafundi wa kushona mahema kama yeye, Paulo alikaa nao akafanya kazi.

Video for Matendo 18:1-3

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 18:1-3