Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 11:23-24

Matendo 11:23-24 BHN

Alipofika huko na kuona jinsi Mungu alivyowaneemesha wale watu, alifurahi na kuwahimiza wote wadumu katika uaminifu wao kwa Bwana. Barnaba alikuwa mtu mwema na mwenye kujaa Roho Mtakatifu na imani. Kundi kubwa la watu lilivutwa kwa Bwana.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 11:23-24