Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 18:46

1 Wafalme 18:46 BHN

Nguvu ya Mwenyezi-Mungu ikamjia Elia, naye akajifunga na kukaza joho lake, akakimbia na kumtangulia Ahabu kuingia mjini Yezreeli.