Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 13:12

1 Wakorintho 13:12 BHN

Tunachoona sasa ni kama tu sura hafifu katika kioo, lakini hapo baadaye tutaona uso kwa uso. Sasa ninajua kiasi fulani tu, lakini hapo baadaye nitajua yote kikamilifu, kama vile Mungu anavyonijua mimi.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wakorintho 13:12