Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo ya Mitume 13:2-3

Matendo ya Mitume 13:2-3 SRB37

Hao walipokuwa wakimtumikia Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu akasema: Nitengeeni Barnaba na Sauli, waifanye kazi, niliyowaitia! Ndipo, walipofunga na kuomba, wakawabandikia mikono, kisha wakawasindikiza.

Video ya Matendo ya Mitume 13:2-3