Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mdo 13:2-3

Mdo 13:2-3 SUV

Basi hawa walipokuwa wakimfanyia Bwana ibada na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, Nitengeeni Barnaba na Sauli kwa kazi ile niliyowaitia. Ndipo wakiisha kufunga na kuomba, wakaweka mikono yao juu yao, wakawaacha waende zao.

Soma Mdo 13

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mdo 13:2-3