Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 17:26-27

Luka 17:26-27 TKU

Mwana wa Adamu atakaporudi, itakuwa kama ilivyokuwa Nuhu alipoishi. Watu walikuwa wakila, wakinywa, wakioa na kuolewa hata siku Nuhu alipoingia katika safina. Ndipo gharika ilikuja na kuwaangamiza wote.

Soma Luka 17