Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Lk 17:26-27

Lk 17:26-27 SUV

Na kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa katika siku zake Mwana wa Adamu. Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote.

Soma Lk 17