Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yakobo 1:13-14

Yakobo 1:13-14 BHNTLK

Kama mtu akijaribiwa, asiseme: “Ninajaribiwa na Mungu.” Maana Mungu hawezi kujaribiwa na uovu, wala yeye hamjaribu mtu yeyote. Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.