Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zekaria 12:10

Zekaria 12:10 SRUV

Nami nitawamwagia watu wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu, roho ya neema na kuomba; nao watamtazama yeye ambaye walimdunga; nao watamwombolezea, kama vile mtu amwombolezeavyo mwanawe wa pekee; nao wataona uchungu kwa ajili yake, kama vile mtu aonavyo uchungu kwa ajili ya mzaliwa wake wa kwanza.

Soma Zekaria 12

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zekaria 12:10