Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 20:13-14

Ufunuo 20:13-14 SRUV

Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake. Mauti na Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa la moto. Hii ndiyo mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto.

Soma Ufunuo 20

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 20:13-14

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha