Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 17:12-14

Ufunuo 17:12-14 SRUV

Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi, ambao hawajapokea ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao. Hawa watafanya vita na Mwana-kondoo, na Mwana-kondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio walioitwa, na wateule, na waaminifu.

Soma Ufunuo 17

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 17:12-14