Zaburi 88:1-2
Zaburi 88:1-2 SRUV
Ee BWANA, Mungu wa wokovu wangu Mchana na usiku nimelia mbele zako. Maombi yangu yafike mbele zako, Ukitegee kilio changu sikio lako.
Ee BWANA, Mungu wa wokovu wangu Mchana na usiku nimelia mbele zako. Maombi yangu yafike mbele zako, Ukitegee kilio changu sikio lako.