Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 8:3-6

Zaburi 8:3-6 SRUV

Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, Mwezi na nyota ulizoziratibisha; Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie? Umemfanya mdogo kuliko Mungu; Umemvika taji la utukufu na heshima; Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako; Umevitia vitu vyote chini ya miguu yake.

Soma Zaburi 8