Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 55:12-14

Zaburi 55:12-14 SRUV

Kwa maana si adui aliyenitukana; Kama ndivyo, ningevumilia. Aliyejitukuza juu yangu siye anichukiaye; Kama ndivyo, ningejificha asinione. Bali ni wewe, mtu mwenzangu, Rafiki yangu, niliyejuana nawe sana. Tumehusiana vizuri; na kutembea Nyumbani mwa Mungu pamoja na mkutano.

Soma Zaburi 55