Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 19:7-8

Zaburi 19:7-8 SRUV

Sheria ya BWANA ni kamilifu, Huiburudisha nafsi. Ushuhuda wa BWANA ni amini, Humtia hekima mtu asiye nayo. Maagizo ya BWANA ni ya adili, Huufurahisha moyo. Amri ya BWANA ni safi, Huyatia macho nuru.

Soma Zaburi 19

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 19:7-8