Zaburi 18:46-49
Zaburi 18:46-49 SRUV
BWANA ndiye aliye hai; Na ahimidiwe mwamba wangu; Na atukuzwe Mungu wa wokovu wangu; Ndiye Mungu anilipizaye kisasi; Na kuwatiisha watu chini yangu. Huniponya na adui zangu; Naam, waniinua juu yao walioniinukia, Na kuniponya na mtu mjeuri. Basi, BWANA, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.