Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:22-24

Zaburi 119:22-24 SRUV

Uniondolee laumu na dharau, Kwa maana nimezishika shuhuda zako. Wakuu nao waliketi wakaninena, Lakini mtumishi wako atazitafakari amri zako. Shuhuda zako nazo ndizo furaha yangu, Na washauri wangu.

Soma Zaburi 119