Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:158-160

Zaburi 119:158-160 SRUV

Nimewaona watendao uhaini nikachukizwa, Kwa sababu hawakulitii neno lako. Uangalie niyapendavyo mausia yako, Ee BWANA, unihuishe sawasawa na fadhili zako. Jumla ya neno lako ni kweli, Na kila hukumu ya haki yako ni ya milele.

Soma Zaburi 119