Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wafilipi 2:1-2

Wafilipi 2:1-2 SRUV

Basi ikiwako faraja yoyote katika Kristo, yakiwako matulizo yoyote ya mapenzi, ukiwako ushirika wowote wa Roho, ikiwako huruma yoyote na rehema, ijalizeni furaha yangu, ili muwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, mkiwaza mamoja.

Soma Wafilipi 2

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wafilipi 2:1-2