Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 11:24-26

Marko 11:24-26 SRUV

Kwa sababu hiyo nawaambia, Yoyote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu. Nanyi, kila msimamapo na kusali, sameheni, mkiwa na neno juu ya mtu; ili na Baba yenu aliye mbinguni awasamehe na ninyi makosa yenu. [ Lakini kama ninyi hamsamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]

Soma Marko 11

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 11:24-26