Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 5:44-45

Mathayo 5:44-45 SRUV

lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi, ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.

Soma Mathayo 5