Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 28:19-20

Mathayo 28:19-20 SRUV

Basi, nendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

Soma Mathayo 28