Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 15:18-19

Mathayo 15:18-19 SRUV

Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo mtu unajisi. Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati; wizi, ushuhuda wa uongo, na matukano

Soma Mathayo 15