Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 15:18-19

Mathayo 15:18-19 NEN

Lakini kitokacho kinywani hutoka moyoni, na hiki ndicho kimtiacho mtu unajisi. Kwa maana ndani ya moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na masingizio.